sw_tn/1ki/03/07.md

469 B

Taarifa kwa ujumla

Sulemani anaomba hekima

Mimi ni mtoto mdogo

Sulemani anasema kuwea yeye ni kama mtoto mdogo ambaye hajui kama baba yake anavyojua.

Sijui namna ya kuingia na kutoka

"Sijui njia sahihi ya kufikiri" au "Sijui namna ya kuwa mfalme"

Kwani ni nani awezaye kuwahukumu watu watu wako hawa walio wengi?

Sulemani anauliza swali ambalo jibu lake liko wazi. Jibu lake ni kwamba "hakuna awezaye." "Hakuuna awezaye kuwahukumuhawa watu wako wakuu"."