forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
469 B
Markdown
16 lines
469 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Sulemani anaomba hekima
|
||
|
|
||
|
# Mimi ni mtoto mdogo
|
||
|
|
||
|
Sulemani anasema kuwea yeye ni kama mtoto mdogo ambaye hajui kama baba yake anavyojua.
|
||
|
|
||
|
# Sijui namna ya kuingia na kutoka
|
||
|
|
||
|
"Sijui njia sahihi ya kufikiri" au "Sijui namna ya kuwa mfalme"
|
||
|
|
||
|
# Kwani ni nani awezaye kuwahukumu watu watu wako hawa walio wengi?
|
||
|
|
||
|
Sulemani anauliza swali ambalo jibu lake liko wazi. Jibu lake ni kwamba "hakuna awezaye." "Hakuuna awezaye kuwahukumuhawa watu wako wakuu"."
|