sw_tn/1ki/03/06.md

327 B

Taarifa kwa ujumla

Sulemani anajibu swali la Mungu

Umeonesha uaminifu wa agano mkuu

"Umekuwa mwaminifu kwa makubaliano yako"

kwa sababu alitembea mbele yako kwa ukweli na uaminifu, katika haki ya moyo

"kwa sababu alikuwa mwaminifu, mwenye haki na mkweli"

kuketi kwenye kiti chake cha enzi

"kutawala mahali pake"