sw_tn/1ki/03/04.md

248 B

Taarifa kwa ujumla

Mungu anamwuliza Sulemani kuwa amfanyie nini:

eneo kuu la juu

"eneo linalofahamika sana kwa kutolea kafara" au "madahabu ya muhimu sana"

Omba! unataka nikupe nini?

"Niombe unalotaka nami nitakupa" au "Unataka nini?