sw_tn/1ki/02/13.md

302 B

Taarifa kwa ujumla

Adoniya anakuja kuongea na Bathisheba

kwa amani

"bila kuwa na kusudio la kusababisha maumivu"

mambo yamebadilika

"Kile kilichokusudiwa kutokea hakikutokea"

ufalme umegeuzwa na umekuwa wa ndugu yangu

"BWANA alimpatia ufalme ndugu yangu" au "ndugu yangu amekuwa mfalme"