sw_tn/1ki/02/08.md

360 B

Taarifa kwa ujumla

Mfalme Daudi anaendelea kumwambia Sulemani jinsi ya kuingoza Israeli.

Shimei ... Gera

Haya nimajina ya wanaume

Wabenjamini

Wana wa uzao wa Benjamini

Bahurimu ... Mahanaimu

Majina ya mahali

usimwache aiepuke adhabu

"hakikisha unamwadahibu

Uatkileta hicho kichwa chenye mvi kaburini

"hakikisha anakufa kifo cha kuuawa"