# Taarifa kwa ujumla Mfalme Daudi anaendelea kumwambia Sulemani jinsi ya kuingoza Israeli. # Shimei ... Gera Haya nimajina ya wanaume # Wabenjamini Wana wa uzao wa Benjamini # Bahurimu ... Mahanaimu Majina ya mahali # usimwache aiepuke adhabu "hakikisha unamwadahibu # Uatkileta hicho kichwa chenye mvi kaburini "hakikisha anakufa kifo cha kuuawa"