sw_tn/1ki/02/07.md

12 lines
216 B
Markdown

# Taarifa kwa ujumla
Mfalme Daudi anaendelea kumwambia Sulemani jinsi ya kuingoza Israeli.
# Barizilai
jiina la mwanamume
# uwaache wawe miongoni mwa wale wanaokula mezani mwako
"uwakaribishe kula mezani kwako"