sw_tn/1ki/02/07.md

216 B

Taarifa kwa ujumla

Mfalme Daudi anaendelea kumwambia Sulemani jinsi ya kuingoza Israeli.

Barizilai

jiina la mwanamume

uwaache wawe miongoni mwa wale wanaokula mezani mwako

"uwakaribishe kula mezani kwako"