sw_tn/1ki/01/09.md

469 B

ndama walionona

"ndama waliokuwa wamepewa chakula cha kutosha ili wanenepe" au "ng'ombe wachanga waliokuwa wameandaliwa kwa ajili ya sadaka"

jiwe la Sohelethi

Hili ni eneo lenye mwamba lililokaribu na Yerusalemu.

Eni Rogeli

Hili liliuwa jina la kisima ambacho watu walipata maji

ndugu zake wote, watoto wa mfalme

virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekile

wanaume wote wa Yuda, na watumishi wa mfalme

Virai hivi viwili vinamaanisha jambo lilelile.