forked from WA-Catalog/sw_tn
469 B
469 B
ndama walionona
"ndama waliokuwa wamepewa chakula cha kutosha ili wanenepe" au "ng'ombe wachanga waliokuwa wameandaliwa kwa ajili ya sadaka"
jiwe la Sohelethi
Hili ni eneo lenye mwamba lililokaribu na Yerusalemu.
Eni Rogeli
Hili liliuwa jina la kisima ambacho watu walipata maji
ndugu zake wote, watoto wa mfalme
virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekile
wanaume wote wa Yuda, na watumishi wa mfalme
Virai hivi viwili vinamaanisha jambo lilelile.