sw_tn/1jn/04/15.md

593 B

Kila anayekiri kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu

"Wale wanaousema ukweli kuhusu, kwamba yeye ni Mwana wa Mungu"

Mwana wa Mungu

Hiki ni cheo muhimu kwa ajili ya Yesu kinachoelezea uhusiano wake kwa Mungu.

hukaa ndani yake

"Mungu anauhusiano naye na yeye pia anauhusianao na Mungu. Tazama 2:4

Mungu ni Pendo

Hii ni mithali ambaoy humaanisha kuwa "tabia ya Mungu ni upendo." Tanzama 4:7

na yeye anayekaa ndani ya upendo anakaa ndani ya Mungu, na Mungu hukaa ndani yake.

"wale wanaoendelea kupenda wengine wanao uhusianao wa karibu na Mungu, naye Mungu anao uhusiano wa karibu nao"