forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
847 B
Markdown
24 lines
847 B
Markdown
# Katika hili pendo la Mungu lilifunuliwa miongoni mwetu,
|
|
|
|
"Kwa hili Mungu alionyesha kwamba alitupenda"
|
|
|
|
# pendo la Mungu lilifunuliwa
|
|
|
|
Ule uhalisa kwamba Mungu anampenda kila mtu yamengumzwa kana kwamba yalikuwa kitu ambacho kwacho Mungu angeweza kwao.
|
|
|
|
# ili tungeishi kwa sababu ya yeye
|
|
|
|
"kutuwezesha kuishi miliele kwa sababu ya kile Yesu alifanya
|
|
|
|
# Katika hili pendo
|
|
|
|
Mungu alituonyesha sisi hasa pendo ni nini
|
|
|
|
# pendo, si kwamba tulimpenda Mungu, lakini yeye alitupenda, na
|
|
|
|
"pendo: pendo la kweli siyo namna tuvyompenda Mungu, bali ni jinsi alivyotupenda sisi, na"
|
|
|
|
# akamtuma Mwanawe awe fidia ya dhambi zetu.
|
|
|
|
Hapa "fidia" hurejelea tukio la ambalo kwalo Mwana alifanyika dhabihu kwa ajili ya dhambi kwa ajili ya dhambi za watu wote. : "An alimtuma Mwanawe kutoa mwenyewe kuwa dhabihu ili kwamba Mungu angeweza kutusamehe dhambi zetu
|