sw_tn/1jn/04/07.md

956 B

Maelezo ya Jumla

Yohana anaendelea kufundisha kuhusu asili mpya. Anawafundisha wasomaji wake juu ya pendo lamungu na kupendana wao kwa wao

Wapendwa

"Nyinyi watu ambao ninawapenda" au "Rafiki wapendwa" Tazama lilifasiriwa katika 2:7

tupendane sisi kwa si

"waaminio ni lazima wapendane wao kwa wao"

na kila mmoja apendaye amezaliwa na Mungu na kumjua Mungu.

"kwa sababu wale wanaowapenda waamini wenzao wamefanyika watoto wa Mungu na humjua yeye"

kwa sababu pendo latoka kwa Mungu.

"kwa sababu Mungu hutusababisha kupendana sisi kwa sisi"

amezaliwa na Mungu

Hii ni methali au fumbo ambalo humaanisha mtu mtu fulani kuwa na uhusiano na Mungu kama mtoto kwa babaye.

Yeye asiyependa hamjui Mungu, kwa sababu Mungu ni upendo.

"Asili ya Mungu ni kupena watu. Wale wasiowapenda waamini wenzao hawamjui Mungu kwa sababu tabia ya Mungu ni kupenda watu.

Mungu ni upendo

Hii ni mithali au fumbo linalomaanisha "tabia ya Mungu ni upendo"