forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
956 B
Markdown
32 lines
956 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yohana anaendelea kufundisha kuhusu asili mpya. Anawafundisha wasomaji wake juu ya pendo lamungu na kupendana wao kwa wao
|
||
|
|
||
|
# Wapendwa
|
||
|
|
||
|
"Nyinyi watu ambao ninawapenda" au "Rafiki wapendwa" Tazama lilifasiriwa katika 2:7
|
||
|
|
||
|
# tupendane sisi kwa si
|
||
|
|
||
|
"waaminio ni lazima wapendane wao kwa wao"
|
||
|
|
||
|
# na kila mmoja apendaye amezaliwa na Mungu na kumjua Mungu.
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu wale wanaowapenda waamini wenzao wamefanyika watoto wa Mungu na humjua yeye"
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu pendo latoka kwa Mungu.
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu Mungu hutusababisha kupendana sisi kwa sisi"
|
||
|
|
||
|
# amezaliwa na Mungu
|
||
|
|
||
|
Hii ni methali au fumbo ambalo humaanisha mtu mtu fulani kuwa na uhusiano na Mungu kama mtoto kwa babaye.
|
||
|
|
||
|
# Yeye asiyependa hamjui Mungu, kwa sababu Mungu ni upendo.
|
||
|
|
||
|
"Asili ya Mungu ni kupena watu. Wale wasiowapenda waamini wenzao hawamjui Mungu kwa sababu tabia ya Mungu ni kupenda watu.
|
||
|
|
||
|
# Mungu ni upendo
|
||
|
|
||
|
Hii ni mithali au fumbo linalomaanisha "tabia ya Mungu ni upendo"
|