sw_tn/1jn/03/04.md

566 B

Anafanya uasi.

"Ana kataa kutii sheria ya Mungu"

Ninyi.

Hapa neno "Ninyi" ni wingi na inawalenga watu ambao Yohana anawaandikia.

Kristo alidhihirishwa.

Hii inaweza kutafsiriwa kwa kitenzi tendaji: "Kristo alitokea" au "Baba alimfunua Kristo."

Kudumu katika yeye.

"Ni kuendelea kufanya anayotaka Yesu."

Hakuna ambaye...amemuona au amemfahamu.

Yohana hutumia neno "amemuona" na "amemfahamu" kusisitiza kwamba mtu ambaye hudumu katika kutenda dhambi hajawahi kukutana na Yesu katika maana ya kiroho. "Hakuna ambaye...hajawahi kabisa kumwamini Yeye."