sw_tn/1jn/02/22.md

493 B

Nani ni mwongo bali ni yeye anayepinga kwamba Yesu ni Kristo? Huyu mtu ni mpinga kristo

Nani ni mwongo? ni yeyote akanaye ukweli kwamba Yesu ni Kristo." Yohana alitumia swali kusisitiza waongo ni nani.

anayemkana Baba na Mwana.

"hukataa kusema kweli kuhusu Baba na Mwana" au "humkataa Baba na Mwana."

Baba... Mwana

Hivi ni vyeo muhimu ambavyo huelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu.

ana Baba

"ni wa Baba"

amkiriye Mwana

Husema kweli kuhusu Mwana"

ana Baba

"ni wa Baba"