sw_tn/1co/15/52.md

621 B

Tutabadilishwa

"Mungu atatubadilisha"

katika kufumba na kufumbua kwa jicho

Itatokea kwa haraka kama vile mtu anavyo kufunga na kufungua jicho lake.

katika tarumbeta ya mwisho

"tarumbeta ya mwisho itakapolia"

hali ya kutoharibika

"umbo ambalo halitaharibika ... mwili huu unaweza kuharibika(kuoza).Kupingwa kwa mbiu kunatanguliza matukio makubwa. Katika swala hili, Paulo ana rejea kwenye tukio kubwa la mwisho katika historia ya dunia hii.

huyu binadamu lazima awekwe kwenye milele

Paulo anazungumzia juu ya Mungu kuibadilisha miili yetu ili isife tena ni kana kwamba Mungu anaweka mavazi mapya kwetu.