sw_tn/1co/15/50.md

1.0 KiB

Sentensi unganishi

Paulo anataka wajue kuwa baadhi ya waumini hawatakufa kimwili bali watapata mwili wa ufufuo kupitia ushindi wa Kristo

kwamba mwili na damu haviwezi kuurithi ufalme wa Mungu

maana zinazokubalika ni: 1) sentensi zote mbili zinamaanisha jambo moja. " Mwanadamu ambao watakufa kabisa hawawezi kuurithi ufalme wa Mungu unaodumu daima" au 2) sentensi ya pili inakamilisha lile wazo linalotangulia hapo mwanzo, kuwa " wanadamu waliodhaifu hawawezi kuurithi ufalme wa Mungu. Wala ambao watakufa hawataweza kuurithi ufalme wa Mungu ambao utadumu milele"

mwili na damu

Ni wale wanafuata tabia za mwili uliohukumiwa kufa.

kurithi tutabadilishwa wote

Ni hali ya kupokea mambo ambayo Mungu ameahidi kwa waumini na Paulo anazungumzia jambo hili kama vile mtu anavyopata urithi wa mali na utajiri kutoka kwa mwanafamilia : "Mungu atatubasilisha sisi sote"

wakuharibika...wakutoharibika

"unaoweza kuoza....usioweza kuoza wala kuharibika"

wote tutabadilishwa

Hii inaonyesha hali tendaji kuwa " Mungu atatubadilisha sisi sote"