sw_tn/1co/15/40.md

534 B

miili ya mbinguni

Kunauwezekano maana ni 1) jua, mwezi, nyota, na mianga mingine ionekanayo katika wingu au 2) viumbe vya mbinguni, kama vile malaika na visivyo vya kawaida.

miili ya duniani

Hii ina rejea kwa wanadamu.

utukufu wa miili ya mbinguni ni wa aina moja na na utukufu wa ulimwenguni ni mwingine.

"utukufu uliopo katika miili ya mbinguni ni tofauti na utukufu uliopo katika miili ya asili ya wanadamu "

utukufu

Hapa "utukufu" unafananishwa na mfano wa mwangaza wa vitu vya angani katika jicho la mwanadamu.