sw_tn/1co/15/24.md

672 B

Maelezo ya Jumla

Hapa neno " ata-kapo" ni rejea kwa Kristo.

atakapo komesha utawala wote na mamlaka yote na nguvu

" atawakomesha watu ambao wanatawala, wenye mamlaka, na wenye nguvu ya kufanya yote wanayofanya"

mpaka atakapoweka maadui zake wote chini ya miguu yake

Wafalme walioshinda vita waliweza kuweka miguu yao juu ya shingo za adui zao waliowashinda. Kwa maneno mengine hapa inasema "mpaka Mungu atakapo waharibu kabisa maadui wa Kristo."

Adui wa mwisho kuharibiwa ni kifo

Paulo anaeleza juu ya kifo kana kwamba anaeleza habari za mtu ambaye Mungu atamuua. Kwa maneno mengine ni kusema "Adui wa mwisho ambaye ataharibiwa na Mungu ni kifo chenyewe"