forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
347 B
Markdown
12 lines
347 B
Markdown
# anaweza kutoa unabii mmoja baada ya mwingine
|
|
|
|
Mtu mmoja tu anaweza kutoa unabii kwa wasaa (watu wawili wasitoe unabii kwa wakati ule ule)
|
|
|
|
# wote waweze kutiwa moyo
|
|
|
|
kwa muundo tendaji ni kusema "Farijianeni wote kwa pamoja"
|
|
|
|
# Mungu si Mungu wa machafuko,
|
|
|
|
Mungu huwa haleti machafuko kwa kuwafanya watu wanene(waongee) wote kwa wakati ulele.
|