forked from WA-Catalog/sw_tn
347 B
347 B
anaweza kutoa unabii mmoja baada ya mwingine
Mtu mmoja tu anaweza kutoa unabii kwa wasaa (watu wawili wasitoe unabii kwa wakati ule ule)
wote waweze kutiwa moyo
kwa muundo tendaji ni kusema "Farijianeni wote kwa pamoja"
Mungu si Mungu wa machafuko,
Mungu huwa haleti machafuko kwa kuwafanya watu wanene(waongee) wote kwa wakati ulele.