sw_tn/1co/14/31.md

347 B

anaweza kutoa unabii mmoja baada ya mwingine

Mtu mmoja tu anaweza kutoa unabii kwa wasaa (watu wawili wasitoe unabii kwa wakati ule ule)

wote waweze kutiwa moyo

kwa muundo tendaji ni kusema "Farijianeni wote kwa pamoja"

Mungu si Mungu wa machafuko,

Mungu huwa haleti machafuko kwa kuwafanya watu wanene(waongee) wote kwa wakati ulele.