sw_tn/1co/12/28.md

646 B

kwanza mitume

Hii inaweza kumaanisha 1) " ninataja karama ya kwanza kuwa ni ya mitume" au 2) "karama ya muhimu zaidi ni ya mitume"

wale wasaidiao

" wale wanaotoa msaada kwa waumini wenzao"

wale wafanyao kazi ya kuongoza

" wale wanaosimamia kanisa"

wote walio na aina mbalimbali za lugha

Watu wanaozungumza lugha za kigeni moja au zaidi bila kujifunza.

Je sisi wote ni mitume? wote ni manabii? wote ni waalimu? wote wanafanya matendo ya miujiza?

Paulo anawakumbusha wasomaji wake jambo wanalolijua. kwa maneno mengine anasema " baadhi yao tu ni mitume. Baadhi yao tu ni manabii. Baadhi yao tu hufanya matendo ya miujiza"