sw_tn/1co/12/07.md

560 B

kila mmoja hupewa

Hapa ikielezwa kwa muundo tendaji:- Mungu ndiye anayefanya tendo la upaji au utoaji. kwa maneno mengine "Mungu humpa kila mmoja "

mtu mmoja amepewa na Roho neno

ikielezwa kwa muundo tendaji:- "Kwa njia ya Roho Mungu humpatia kila mmoja neno"

kwa Roho

Mungu hutoa karama kupitia kazi ya Roho

hekima...maarifa

Tofauti kati ya haya maneno mawili siyo muhimu, cha muhimu ni kwamba maarifa na hekima hutoka kwaMungu kwa njia ya Roho yule yule.

neno la hekima

" maneno ya busara"

neno la maarifa

" Maneno yanayoonesha ujuzi"