sw_tn/1co/11/23.md

402 B

Kwa maana nilipokea kutoka kwa Bwana kile ambacho nimewapa ninyi ya kuwa Bwana

" kwa kuwa nilichosikia kutoka kwa Bwana ndicho niliwaambia ninyi, na ilikuwa hivi: Bwana"

usiku ule aliposalitiwa

kielezwa kwa muundo tenda: "usiku ule Yesu aliposalitiwa na Yuda Iskariote "

aliuvunja

" aliupasua mkate katika vipande vidogo vidogo"

Huu ndio mwili wangu

"Mkate ninaoshikilia ni mwili wangu"