sw_tn/1co/11/20.md

481 B

mkutanikapo

"kusanyika pamoja"

mnachokula sio chakula cha Bwana.

" mnaaminia kuwa mnakula chakula cha Bwana lakini hamukiheshimu kama inavyostahili"

za kulia na kunywea

"ambapo mnaweza kukutana kula chakula"

mnalidharau

chukia au tendea bila adabu na heshima

kuwafedhehesha

aibisha au sababisha kujisikia aibu

Niseme nini kwenu? Niwasifu?

Paulo anawakemea Wakorintho. Kwa maneno mengine anasema " siwezi kusema neno lolote zuri juu ya hili. Siwezi kuwasifu"