forked from WA-Catalog/sw_tn
481 B
481 B
mkutanikapo
"kusanyika pamoja"
mnachokula sio chakula cha Bwana.
" mnaaminia kuwa mnakula chakula cha Bwana lakini hamukiheshimu kama inavyostahili"
za kulia na kunywea
"ambapo mnaweza kukutana kula chakula"
mnalidharau
chukia au tendea bila adabu na heshima
kuwafedhehesha
aibisha au sababisha kujisikia aibu
Niseme nini kwenu? Niwasifu?
Paulo anawakemea Wakorintho. Kwa maneno mengine anasema " siwezi kusema neno lolote zuri juu ya hili. Siwezi kuwasifu"