sw_tn/1co/10/05.md

313 B

hakupendezwa sana

"kutofurahishwa" au "hasirishwa"

wengi wao

" Mababa wa waisraeli"

maiti zao zilisambazwa

"Mungu alitawanya maiti katika eneo lile" au "Mungu aliwaua na kutawanya maiti za miili yao"

jangwani

eneo la jangwa kati ya Misri na Israeli wakopitia Wisraeli katika safari yao ya miaka 40