sw_tn/1co/09/17.md

583 B

kama ninafanya hivi kwa hiari

"kama nitahubiri kwa hiari"

kwa hiari

"kwa furaha" au "kwa sababu ninataka"

Bado nina jukumu nililopewa kuwa wakili

katika muundo wa kitenzi tendaji:- "Lazima nifanye kazi hii ambayo Mungu alinip ili kuikamilisha"

thawabu yangu ni nini?

" Hii ndiyo thawabu yangu."

kwamba nihubiripo, niweze kutoa injili bila malipo

"Thawabu yangu kwa ajili ya kuhubiri ni kuwa nihubiri bila kupokea malipo"

kutoa injili

"kuhubiri injili"

na hivyo situmii haki yangu yote ya injili

"kwa hiyo siwaombi watu kunisaidia ninaposafiri na kuhubiri"