sw_tn/1co/09/09.md

557 B

usimfunge

Musa alizungumza na wana wa Israeli kama anazungumza na mtu mmoja, hivyo amri hii ipo katika umoja.

Ni kweli kwamba hapa Mungu anajali ng'ombe?

"Mnapaswa kujua bila kuambiwa kuwa siyo ng'ombe ambaye Mungu anamjali zaidi."

Je hasemi hayo kwa ajili yetu?

" Badala yake, Mungu alikuwa anasema kuhusu sisi."

kwa ajili yetu

Hapa "yetu" inarejea kwa Paulo na Barnabas.

ni neno kubwa tukivuna vitu vya mwilini kutoka kwenu?

"Mlipaswa kufahamu kabla hata ya kuwaambia kuwa si jambo kubwa kwetu tukipokea msaada wa vitu kutoka kwenu."