sw_tn/1co/07/17.md

530 B

Kila mmoja

"Kila muumini"

Hii ni kawaida kwa kila kanisa

Paulo alikuwa anafundisha waumini katika makanisa yote kufuata katika njia hii.

yeyote alikuwa ametahiriwa alipoitwa kuamini.

Paulo alikuwa anafikisha ujumbe utahiriaji(Wayahudi) "Kwa waliotahiriwa, Mungu alipowaita kuamini, Mlikuwa tayari mmetahiriwa."

Yeyote alipoitwa kwa imani alikuwa hajatahiriwa.

Paulo alikuwa sasa anafikisha ujumbe kwa wale walikuwa hawajatahiriwa. "Kwa waliokuwa hawajatahiriwa ,Mungu alipowaita kuamini, mlikuwa bado kutahiriwa."