sw_tn/1co/07/08.md

246 B

wasioolewa

Hawa ni wale ambao hawajaolewa.

wajane

" wanawake walifiwa na waume wao"

ni vizuri

Neno "Vizuri"hapa linaonyesha haki na kukubalika. "Ni haki na kukubalika"

kuwaka tamaa

"Kuishi kwa tamaa ya kutaka kulala na mtu fulani"