sw_tn/1co/07/05.md

716 B

Msinyimane

"Msikatae kulala pamoja wenzi wenu"

Fanyeni hivyo ili kupata muda wa maombi

Ili mpate muda maalumu wa maombi.

Fanyeni hivyo

""Jikabidhi ninyi wenyewe"

kurudiana tena pamoja

"Lala pamoja tena"

Kwa sababu ya kukosa kujitawala wenyewe

tawala- "Kwa sababu baada ya siku, tamaa yako ya zinaa itakuwa ngumu zaidi kuitawala"

Ninasema vitu hivi kwenu zaidi kama hiari nasio kama amri

Hapa inamaanisha 1) kuoana na kulala pamoja 2) kuacha kulala pamoja kwa muda

kama mimi

Labda Paulo hakuwahi kuoa au mke wake alifariki.

Lakini kila mmoja na karama yake kutoka kwa Mungu.Mmoja ana aina hii ya karama, na mwingine karama ile.

Mungu anawawezesha watu kufanya mambo yanayotofautiana.