forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
332 B
Markdown
12 lines
332 B
Markdown
# Majivuno yenu si kitu kizuri
|
|
|
|
"Majivuno yenu ni mabaya"
|
|
|
|
# Hamjui chachu kidogo huharibu donge zima?
|
|
|
|
Kama hamira kidogo husambaa kwa mkate mzima, hivyo dhambi ndogo inaweza kuathiri ushirika wote wa waumini.
|
|
|
|
# Kristo, Mwana Kondoo wetu wa pasaka amekwisha kuchinjwa
|
|
|
|
"Bwana Mungu amemtoa KristoYesu, mwanakondoo wetu wa Pasaka"
|