sw_tn/1co/05/06.md

332 B

Majivuno yenu si kitu kizuri

"Majivuno yenu ni mabaya"

Hamjui chachu kidogo huharibu donge zima?

Kama hamira kidogo husambaa kwa mkate mzima, hivyo dhambi ndogo inaweza kuathiri ushirika wote wa waumini.

Kristo, Mwana Kondoo wetu wa pasaka amekwisha kuchinjwa

"Bwana Mungu amemtoa KristoYesu, mwanakondoo wetu wa Pasaka"