sw_tn/1co/04/19.md

516 B

Nitakuja kwenu

"Nitawatembelea"

haitegemeikatika kusema

"haitendwi kwa maneno" au "Si nini usemacho"

Nini unachotaka?

Paulo alikuwa anawasihi kwa mwisho Wakorintho, kamaamekwisha warudi kwa makosa waliyokwishafanya. "Niambieni nini mnataka kitokee sasa."

Nije kwenu na fimbo au na upendo na roho ya upole.

Paulo anatoa tabia mbili tofauti kwa Wakorintho, atakazotumia atakapofika kwao. "Mnataka nije kuwafundisha ninyi kwa lazima, au mnataka nionyeshe upendo na kwa upole?"

upole

"wema au "uzuri"