forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
618 B
Markdown
24 lines
618 B
Markdown
# Sisi tu wajinga kwaajili ya Kristo, lakini mna busara katika Kristo.
|
|
|
|
Paulo anatumia kinyume kutofautisha mtazamo wa dunia na mtazamo wa Kikristo wa kuamini katika Kristo.
|
|
|
|
# Sisi ni wadhaifu, lakini ninyi mna nguvu
|
|
|
|
Paulo anatumia kinyume kutofautisha mtazamo wa kidunia na mtazamo wa kikristo wa kuamini katika Kristo.
|
|
|
|
# Mmeheshimiwa
|
|
|
|
"Watu wanawahesabu Wakorintho katika nafasi ya heshima."
|
|
|
|
# Tunasika katika hali ya kutoheshiwa
|
|
|
|
"Watu wanatuhesabu sisi mitume katika nafasi ya kutoheshiwa."
|
|
|
|
# Hata kwa saa hii iliyopo
|
|
|
|
"Mpaka sasa" au "Kufikia sasa"
|
|
|
|
# Tumepigwa vibaya
|
|
|
|
"Adhibiwa kwa mapigo makaliya mwili"
|