sw_tn/1co/04/10.md

618 B

Sisi tu wajinga kwaajili ya Kristo, lakini mna busara katika Kristo.

Paulo anatumia kinyume kutofautisha mtazamo wa dunia na mtazamo wa Kikristo wa kuamini katika Kristo.

Sisi ni wadhaifu, lakini ninyi mna nguvu

Paulo anatumia kinyume kutofautisha mtazamo wa kidunia na mtazamo wa kikristo wa kuamini katika Kristo.

Mmeheshimiwa

"Watu wanawahesabu Wakorintho katika nafasi ya heshima."

Tunasika katika hali ya kutoheshiwa

"Watu wanatuhesabu sisi mitume katika nafasi ya kutoheshiwa."

Hata kwa saa hii iliyopo

"Mpaka sasa" au "Kufikia sasa"

Tumepigwa vibaya

"Adhibiwa kwa mapigo makaliya mwili"