sw_tn/1co/04/08.md

825 B

Maelezo ya Jumla

Paulo anatumia msemo wa kejeli ili kuwafanya Wakorintho waone aibu na kutambua kuwa walikuwa wakitenda dhambi walipojisifu wenyewe pamoja na kuwasifia walimu wao.

Mungu ametuweka sisi mitume kama kutuonyesha

Paulo anaeleza njia mbili jinsi Mungu amekwisha weka mitume kwa kuonyesha wazi kwa ulimwengu uone

ametuweka sisi mitume kama kutuonyesha

Mungu ameonyesha wazi mitume kama tu wafungwa wakti wa mwisho wa gwaride la jeshi la Kirumi,ambao tunaabishwa mbele ya kutekeleza kwao.

kama watu waliohukumiwa kuuawa

Mungu ameweka mitume kuonyesha wazi kama watu waliotayari kutekelezwa.

kwa ulimwengu, kwa malaika na kwa wanadamu

Neno "ulimwengu" ni jumla ya viumbe vya kiroho (malaika) na viumbe vya asili (wanadamu). kwa hiyo anataja vitu vitatu: kwa ulimwengu, kwa malaika, na kwa wanadamu