forked from WA-Catalog/sw_tn
825 B
825 B
Maelezo ya Jumla
Paulo anatumia msemo wa kejeli ili kuwafanya Wakorintho waone aibu na kutambua kuwa walikuwa wakitenda dhambi walipojisifu wenyewe pamoja na kuwasifia walimu wao.
Mungu ametuweka sisi mitume kama kutuonyesha
Paulo anaeleza njia mbili jinsi Mungu amekwisha weka mitume kwa kuonyesha wazi kwa ulimwengu uone
ametuweka sisi mitume kama kutuonyesha
Mungu ameonyesha wazi mitume kama tu wafungwa wakti wa mwisho wa gwaride la jeshi la Kirumi,ambao tunaabishwa mbele ya kutekeleza kwao.
kama watu waliohukumiwa kuuawa
Mungu ameweka mitume kuonyesha wazi kama watu waliotayari kutekelezwa.
kwa ulimwengu, kwa malaika na kwa wanadamu
Neno "ulimwengu" ni jumla ya viumbe vya kiroho (malaika) na viumbe vya asili (wanadamu). kwa hiyo anataja vitu vitatu: kwa ulimwengu, kwa malaika, na kwa wanadamu