sw_tn/1co/04/06.md

921 B

kaka na dada zangu

Hii inamaanisha washirika/ wakristo (waumini)wote wanaume na wanawake

kwa ajili yenu

"kwa ajili ya ustawi wenu, au mafaa yenu"

tofauti kati yenu...Ni nini ulicho nacho hukukipokea... kupokea bure, kwa nini mnajivuna kama hamkufanya hivyo

Paulo anawaongelea Wakorintho kana kwamba anazumgumza na mtu mmoja, ndiyo maana katika matukio yote anatumia kiwakilishi cha "wewe".

ni nani aonaye tofauti kati yenu na mwingine?

Paulo aliwaonya Wakorintho ambao wanafikiri wao ni bora kwa kuwa wameamini injili kwa Paulo au kwa Apolo. "Hamko bora zaidi ya watu wengine."

Ni nini ulicho nacho hukukipokea bure?

Paulo alieleza kwamba Mungu aliwapa kile walicho nacho kwa bure. "Kila kitu mlichonacho, Mungu amewapa bure, bila malipo yoyote!"

Kwa nini mnajivuna kama hamkufanya hivyo?

Paulo alikuwa anawaonya kwa kujivuna kwa kile walichopokea. "Hamna haki ya kujivuna" au "Msijivune kabisa."