sw_tn/1co/04/03.md

478 B

Ni kitu dogo sana kuwa ninahukumiwa na ninyi

Paulo analinganisha kati ya hukumu ya kibinadamu na hukumu ya Mungu. Hukumu ya binadamu ni ya kubahatisha kulinganisha na hukumu ya kweli ya Mungu juu ya binadamu

Sijihukumu mimi mwenyewe

"Sijasikia lawama yoyote juu yangu kwamba nilifanya maovu"

hii haina maana kuwa mimi ni mwenye haki. Ni Bwana anihukumuye

"kule kutosikia lawama siyo uthibitisho kuwa mimi sina hatia. Bwana anajua kama mimi sina hatia au nina hatia.