forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
478 B
Markdown
12 lines
478 B
Markdown
|
# Ni kitu dogo sana kuwa ninahukumiwa na ninyi
|
||
|
|
||
|
Paulo analinganisha kati ya hukumu ya kibinadamu na hukumu ya Mungu. Hukumu ya binadamu ni ya kubahatisha kulinganisha na hukumu ya kweli ya Mungu juu ya binadamu
|
||
|
|
||
|
# Sijihukumu mimi mwenyewe
|
||
|
|
||
|
"Sijasikia lawama yoyote juu yangu kwamba nilifanya maovu"
|
||
|
|
||
|
# hii haina maana kuwa mimi ni mwenye haki. Ni Bwana anihukumuye
|
||
|
|
||
|
"kule kutosikia lawama siyo uthibitisho kuwa mimi sina hatia. Bwana anajua kama mimi sina hatia au nina hatia.
|