forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
711 B
Markdown
24 lines
711 B
Markdown
# Mtu asijisifu mwenyewe
|
|
|
|
Mtu yeyote hanapaswa kuamini kwa kujidanyanya mwenyewe kwamba ni mwenye hekima katika ulimwengu huu.
|
|
|
|
# Nyakati hizi
|
|
|
|
hii inahusu namna ambavyo watu wasioamini hufanya maamuzi
|
|
|
|
# awe kama "mjinga"
|
|
|
|
"Yule mtu anapaswa kukubali kile ulimwengu hufikiri ni ujinga kwa ajili ya kupata hekima ya kweli ya Mungu"
|
|
|
|
# Huwanasa wenye hekima kwa hila zao
|
|
|
|
Mungu huwatega watu ambao wanafikiri kuwa wana akili na anatumia mipango yao kuwatega wao
|
|
|
|
# Bwana anajua mawazo ya wenye busara ni ubatili
|
|
|
|
"Bwana anajua kwamba mipango ya watu ambao hufikiri wana busara ni" au "Bwana anaelewa mipango yote ya wenyebusara na anajua yote ilivyo."
|
|
|
|
# ubatili
|
|
|
|
"hayatumiki" "hakuna thamani"au "Hakuna pointi"
|