sw_tn/1co/03/18.md

711 B

Mtu asijisifu mwenyewe

Mtu yeyote hanapaswa kuamini kwa kujidanyanya mwenyewe kwamba ni mwenye hekima katika ulimwengu huu.

Nyakati hizi

hii inahusu namna ambavyo watu wasioamini hufanya maamuzi

awe kama "mjinga"

"Yule mtu anapaswa kukubali kile ulimwengu hufikiri ni ujinga kwa ajili ya kupata hekima ya kweli ya Mungu"

Huwanasa wenye hekima kwa hila zao

Mungu huwatega watu ambao wanafikiri kuwa wana akili na anatumia mipango yao kuwatega wao

Bwana anajua mawazo ya wenye busara ni ubatili

"Bwana anajua kwamba mipango ya watu ambao hufikiri wana busara ni" au "Bwana anaelewa mipango yote ya wenyebusara na anajua yote ilivyo."

ubatili

"hayatumiki" "hakuna thamani"au "Hakuna pointi"