forked from WA-Catalog/sw_tn
490 B
490 B
Kwa sababu kile Mungu alichofanya
Hii inaonyesha kazi ya Kristo msalabani.
Sisi... yetu
Paulo anajumlisha wale waliotumika naye, pamoja na wakorintho
Kristo Yesu, ambaye amefanyika hekima kwa ajili yetu kutoka kwa Mungu
Hapa inaweza kumaanisha: 1) " Kristo Yesu aliyedhihirisha wazi kwetu jinsi Mungu alivyo wa Hekima" au 2) Kristo Yesu aliyetupatia Hekima ya Mungu"
Anayejisifu, ajisifu katika Bwana
"Kama mtu anajisifu, anapaswa kujisifu kuhusu jinsi Bwana alivyo mkuu."