sw_tn/1co/01/30.md

490 B

Kwa sababu kile Mungu alichofanya

Hii inaonyesha kazi ya Kristo msalabani.

Sisi... yetu

Paulo anajumlisha wale waliotumika naye, pamoja na wakorintho

Kristo Yesu, ambaye amefanyika hekima kwa ajili yetu kutoka kwa Mungu

Hapa inaweza kumaanisha: 1) " Kristo Yesu aliyedhihirisha wazi kwetu jinsi Mungu alivyo wa Hekima" au 2) Kristo Yesu aliyetupatia Hekima ya Mungu"

Anayejisifu, ajisifu katika Bwana

"Kama mtu anajisifu, anapaswa kujisifu kuhusu jinsi Bwana alivyo mkuu."