sw_tn/1co/01/28.md

384 B

hali ya chini na kilichodharauliwa

watu ambao dunia imewakataa."Watu ambao ni wanyenyekevu na kukataliwa."

Vitu ambavyo vimehesabiwa kuwa hakuna kitu

"Vile ambavyo watu kawaida huhesabiwa havithaminiwi"

vitu vilivyo na thamani

"Vitu ambavyo watu kwa kawaida huvithamini"au "Vitu ambavyo watu hudhani vina thamani au vinathaminiwa."

Alifanya hivi

"Mungu alifanya hivi"