forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
1.0 KiB
Markdown
29 lines
1.0 KiB
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Paulo anaelezea mwenendo na ushirika wa waumini katika Krito wanaposubiri kurudi kwake mara ya pili
|
|
|
|
# kwa sababu ya neema ya Mungu ambayo Kristo Yesu aliwapa
|
|
|
|
Paulo anazungumzia neema kana kwamba ni kitu chenye umbo ambacho Yesu amewapa wakristo kama zawadi. " hii ni kwa sababu Yesu amefanya iwezekane kwa Mungu kuwa mwema kwako"
|
|
|
|
# Amewafanya kuwa matajiri
|
|
|
|
Yawezekana maana ni 1)"Kristo amekufanya
|
|
wewe tajiri" au 2) "Mungu amekufanya wewe tajiri."
|
|
|
|
# Amewafanya kuwa matajiri katika kila njia
|
|
|
|
inatumia lugha ya makazo kumaanisha" aliwafanya matajiri wenye baraka nyingi za rohoni"
|
|
|
|
# katika usemi
|
|
|
|
Mungu amekupa uwezo wa kuwaambia na kuwashirikiwe wengine kuhusu ujumbe kwa namna mbalimbali.
|
|
|
|
# pamoja maarifa yote.
|
|
|
|
Mungu amekuwezesha kuelewa ujumbe wake kwa namna mbalimbali.
|
|
|
|
# ushuhuda kuhusu Kristo ya kwamba amethibitishwa kuwa kweli miongoni mwenu.
|
|
|
|
maneno haya yanaweza kumaanisha: 1) ninyi wenyewe mliona tulichokise kwenu kuhusu Kristo ilikuwa ni kweli 2) watu wengine walijifunza kwa kuona ninyi na sisi tunavyoishi katika Kristo.
|