sw_tn/1co/01/04.md

1.0 KiB

Sentensi Unganishi

Paulo anaelezea mwenendo na ushirika wa waumini katika Krito wanaposubiri kurudi kwake mara ya pili

kwa sababu ya neema ya Mungu ambayo Kristo Yesu aliwapa

Paulo anazungumzia neema kana kwamba ni kitu chenye umbo ambacho Yesu amewapa wakristo kama zawadi. " hii ni kwa sababu Yesu amefanya iwezekane kwa Mungu kuwa mwema kwako"

Amewafanya kuwa matajiri

Yawezekana maana ni 1)"Kristo amekufanya wewe tajiri" au 2) "Mungu amekufanya wewe tajiri."

Amewafanya kuwa matajiri katika kila njia

inatumia lugha ya makazo kumaanisha" aliwafanya matajiri wenye baraka nyingi za rohoni"

katika usemi

Mungu amekupa uwezo wa kuwaambia na kuwashirikiwe wengine kuhusu ujumbe kwa namna mbalimbali.

pamoja maarifa yote.

Mungu amekuwezesha kuelewa ujumbe wake kwa namna mbalimbali.

ushuhuda kuhusu Kristo ya kwamba amethibitishwa kuwa kweli miongoni mwenu.

maneno haya yanaweza kumaanisha: 1) ninyi wenyewe mliona tulichokise kwenu kuhusu Kristo ilikuwa ni kweli 2) watu wengine walijifunza kwa kuona ninyi na sisi tunavyoishi katika Kristo.