sw_tn/1ch/29/24.md

232 B

utii

"uaminifu wao"

Yahweh alimheshimu sana Sulemani na kumkirimia nguvu kubwa

Hii mistari miwili inasisitiza kuwa Sulemani alipokea upendeleo maalumu kutoka kwa Yahweh, uliyo mfanya mfalme mkubwa na mwenye nguvu wa Israeli.