sw_tn/1ch/29/08.md

16 lines
216 B
Markdown

# hazina
Hii ni sehemu ambayo pesa na vitu vya thamani vimeekwa.
# Yehieli
Hili ni jina la mwanaume.
# Gerishoni
Huyu alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Lawi.
# moyo wao wote
kwa utayari, na bila shaka au wasi wasi