sw_tn/1ch/29/08.md

216 B

hazina

Hii ni sehemu ambayo pesa na vitu vya thamani vimeekwa.

Yehieli

Hili ni jina la mwanaume.

Gerishoni

Huyu alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Lawi.

moyo wao wote

kwa utayari, na bila shaka au wasi wasi